CCM CHAMA LAO....MANYUMBU WAMESAHAU WANACHOPIGANIA SASA WOTE TUMEWAGEUZISHA WAMEHAMIA KWENYE MJADALA WA KINANA NA MAKAMBA MKIJA KUSANUKA UCHAGUZI HUU.....
Sent from my iPhone using JamiiForums
CCM itatawala milele kwa namna hii ya upinzani kukataa mauno kwa kila ngoma inayopigwa na CCM....hapa ni mipango ya CCM kuwatoa wapinzani kwenye hoja ya URAIS 2020 na WAPINZANI walivyo MAZUZU wameacha kila kitu sasa wamebagi kushabikia (KUKATA MAUNO) ngoma wasiyoijua....
Wacha kudanganya watu wewe....unajua ulinzi uliokuwepo hapo kumzunguka Lars Løkke Rasmussen na mwenyeji wake?? au kwakuwa unaona wanaendesha Baiskeli?? Acha kukariri ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.