Habari wana jamvi,
Nina kijana wangu ambae ana tabia ambazo mimi sifurahii kabisa maana ninazichukulia kama ni tabia za wadada fulani ivi wa kiswahili mfano mkiwa mnachati maneno kama baby yake,jomoni, niwache babu wee, au usinifanyie mwana mwenzio na hapa mkiongea mara nyingi anavitumia ivo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.