Salaam wakuu.
Kuna barua inasambaa mitandaoni kuhusu walimu wanaotaka kubadilisha kituo cha kazi. Cha ajabu hawa jamaa wanajibu barua yako ndani ya masaa 48 na wanataka uwatumie pesa Tshs 350,000/= kwa ajili ya kukutumia hati ya uhamisho.
OMBI:
Mamlaka zinazohusika ziwafuatilie hawa jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.