Labda niongezee Kuna vitu alivyonisimulia sinaviweka hapa amekuwa kwenye mateso makubwa ndo mana haya naona kwake ni madogo.Alikuwa bila wazazi mpaka anafika chuo amepambana na mabazazi tangu utoto
Helo guys.
Moja kwa moja kwenye mada
Mimi Nina jirani yangu ambaye amenitunuku kushare nami baadhi ya Hali yake ya maisha
Story ni ndefu kidogo but ntajitahidi kuikatisha.
Huyu kaka anaishi na huyo Dada Kama mke na mume.Na wamezaa mtoto mmoja.Kaka au baba Ana watoto wengine 5 kwa wamama...
Hili suala la eti ukimganda Kama Hana hisia mnatoa wapi? Anaweza kukuua kivipi? Au Mimi sielewi jamani hivi mpaka watu wanaanza mahusiano na kushika Kasi huwa ni Nini kimetokea mpaka muwaze hayo? Kuua ni Hila za shetwani ingekuwa hivyo hata Ile ya mwanza mume na mke kuuana isingetokea mauaji...
Haya subirini hao wa kushushwa toka mbinguni.Wanapendana ndo Mana wapo . Haya ya kusema hapendwi. I dhana ya kuendekeza uhuni Sasa Kama A hukumpenda why usiende kwa B toka mwanzo ili huyu A asikugande? Ladies ni kuganda tu
Point hapa huwa siielewagwi kumganda mtu anakuwa hakupendi?? Au tuna maana Ile Hali ya uvumilivi maana nakataa Ile kila mtu unazila unaanza upya kwa mwaka mahusiano Kama ,6 why tho
Point zetu ni mule mule .Na ijulikanavyo Kama mmekutana I love I love you too mkasomana jamaa ukamsoma na yeye akakuandika moyoni( point ipo hapo) sasa ipo hivi mmependana kukosana kupo hakukupenda ( how can you know if he is not in love some guys are very good in acting Komando John haoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.