Ni muda mrefu sasa umepita tangu mh. lema kuambiwa*
atoe taarifa ushaidi kwamba waziri mkuu wa tanzania
amesema uongo lakini *mpaka leo hatouni kinachoendelea./
leo tena mch.msigwa anaambiwa alete ushaidi *wa maandishi je huu sio mpango*
wa spika kutaka kuwanyamazisha wabunge wa cdm ili wananchi...
kwanza kabisa inabidi aachie ngazi kwa kutufanya wajinga
ana tudanganya danganya tu
hayuko makini kabisa alafu ndio ameaminiwa kupewa wizara nyeti hivyo
ina maana ccm hamna watu makini
hii bajeti niliisikiliza nikajua kuna changa la macho je wewe unasaidiwa na nchi zaidi ya ishirini
na wabunge kwa upungufu wao wanapiga makofi kusaidiwa.serikali imekosa ubunifu wa vyazo vipya vya mapato
utekelezaji zero.
wameshindwa kuondoa rushwa polisi
Ina wapa matraffic deal la kupandisha...
kampuni moja inayojulikana kwa jani la symbion ya nchini marekani imenunu
mitambo ya dowans iliyopo ubungo dsm
taarifa zinasema viongozi wa kampuni hiyo wamesema ni kweli wamenunua mitambo hiyo
lakini wamegoma kusema ni tsh ngapi au usd ngapi walizotoa kununua mitambo hiyo
pia wamegoma...
Lengo kuu la maandamano haya nikujiongezea wana chama
kwani wapo watu wanaofata mkumbo lakini ni lazima
katika mikutano yao watoe muda wakuulizwa maswali nawananchi
pia wabunge waeleze mpaka sasa wametekeleza nn kwy ahadi zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.