vyombo vya dola tumevipa madaraka wenyewe yatupasa kuviamini. Wacha vifanye kazi yake. . . .maneno maneno ya nini? Pigeni kazi tu, majibu mbona yatapatikana tu.
kilichobaki ni kila mtu afunge domo lake tusubirie alienusurika kufa apone na aje kusema lolote. Wengine wote ni tunaropoka 2. . . .kila mtu na speculation zake ambazo ni kama kubahatisha tu ila ukweli upo. Tusubirie muhusika atasema lolote 2
Kutii sheria bila shuruti ni wajibu wa kila mtanzania. . . .tuache vyombo vya dola vifanye kazii yake. Ni kosa kisheria kusambaza taarifa zisizo na ukweli. Too much speculations, kila mtu ana mtazamo wake ila ukweli unabaki mmoja tu. Ni vema tukasubiria hadi ukweli utakavopatikana kuliko kujump...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.