Search results

  1. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Video zitapatikana katika page yetu ya fb ya al-hikma qur-an competition
  2. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Kwa niaba ya Taasisi ya Al-Hikma foundation tunatanguliza shukrani zetu za dhati kwa kujaa kwa wingi uwanjani na kuitikia wito kwa ajili ya MwenyeziMungu, pia tunawataka radhi watu wote walioshindwa kuingia kutokana na uwanja kujaa, haikuwa dhamira yetu. Mwisho kabisa tunamuomba Allahu Subhana...
  3. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Kumradhi ndugu yangu, na ndugu wote waliouliza juu ya live coverage ya kwa local stations, haikuwa nia yetu kudharau swali lenu ila tulikuwa Tunasubiria uhakika wa jambo husika na kwa kipindi hiko tulikuwa bado halijakamilika. Ila uhakika kwa sasa ni kuwa Azam TV wataonyesha live... Ila karibu...
  4. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Sasa tunahesabu masaa tu...
  5. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Maandalizi bado yanaendelea...
  6. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Pia mzee Yusuph,muhogo mchungu na ridhiwani kikwete in Shaa Allah watakuwepo....
  7. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Dini ya uislam haikatazi hata kuishi na mtu japo asiye na dini kwa chuki, ni wajibu wetu wote kuwatendea wema viumbe wote ili waone wema wa uislam. Na hivyo tunawaalika watu wote wa dini zote kuhudhuria siku ya Jumapili in shaa Allah
  8. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Tukio linatarajiwa kuanza mapema saa 12:30 asubuhi ili kuwawezesha wanaotoka mbali wawahi kufturu majumbani mwao. Allah atuafikishe tuidiriki siku hiyo. Aamyin
  9. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Imebaki siku 1 tu.. Tusisahau kuwahi mapema sana asubuhi uwanjani. Kuna uwezekano mkubwa uwanja kufungwa mapema sana utakapoanza kujaa
  10. AL-HIKMA FOUNDATION

    Ujio wa sheykh Sudeys Tanzania

    Asante kwa ushauri, imamu dr. Abdulrahman sudeys atakuwa na session maalum imepangwa siku hiyo ya kuliombea Taifa zima na watu wake. Karibu sana
Back
Top Bottom