Africa Fungu la kukosa,elimu na dini ndio pingu walizotumia kutufunga.Huwezi kutumia elimu ya mzungu kushindana na mzungu(Kutatua tatizo kwa akili iliyosababisha tatizo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshasahau kipindi kile alivyotoka kwao Ifakara kwa msaada wa lift huku akiwa amefunga nguo kwenye kanga. Picha zake tunazo. nzagambadume,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe ninaona aibu sana maana hapo zamani tulikuwa tunaingia kwenye uchaguzi bila hofu na wapinzani walikuwa wana uhuru wa kutosha.Sasa leo hii pamoja na kuwabana bado CCM inawaogopa!Yaani mtu kafungwa kamba halafu unaogopa kupigana naye!Mambo ya Mohammed Ali haya.
Akimaliza huko aingie kwenye upande wa askari wa barabarani.Wenye haki ya kupita na magari mabovu ni wale wanaoombwa rushwa na kutoa haraka.Wale wasiojiongeza huishia kuwekwa ndani.Mimi huwa natoka Kahama kazini na kuelekea nyumbani kwangu Bugarama(Kakola),ninekuwa nikishuhudia haya matukio mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.