Asante mkuu kwakuwa mkweli.
Ila kuhusu hao.
Kwanza hawa watu hawajitambui kuwa wana nafasi gani kwenye hii dunia.
Pili wanachojua wao ni kuwa ndugu zao ni hao wa katika imani tu.
Kwahiyo madhira wanayoyapata watu wa imani tofauti na yao hawana habari nayo kabisa.
Wako radhi Waafrika wenzao...
Leo wanawategemea vijana wa Marekani waandamane kushinikiza vita ya Gaza isitishwe.
Wasomi wa nchi za Kiarabu wanakula tende tu hawana habari za maandamano ya kusitishwa vita Gaza.
Mamlaka ya Hamasi ilikaa na kuridhika kabisa kufanya vita na Israeli.
HIvibhawakufikiria madhara yake (nini...
Kwahiyo Hamasi walikuwa wanachagua kuuwa watu wazima tu.
Zile risasi na makombola yao yalikuwa yanauwa watu wazima tu
Ndivyo unavyotaka kusema hapa
Mauaji ya Gaza wakulaumiwa ni Hamasi.
Unamchokozaje anayekuzidi nguvu halafu unaanza kulialia bila sababu.
Haya sasa maelfu ya wanagaza wanauliwa...
Kwani chanzo cha vita hii inayoendelea Gaza ninini hasa.
Israeli wanalipiza kisasi cha kuuliwa na kutekwa watu wao na Hamas.
Hamasi na Israeli wakatangaza vita kwa makubaliano yao.
Vita inaendelea hamas wanauwa waisraeli na waisraeli wanauwa wapelestina.
Wewe unakuwaje upande mmoja?
Hamas kama...
Uliwahi hata sekunde moja kuwalaani Hamasi kwa kitendo chao cha kuuwa watoto wa Israeli wasio na hatia ?
Kama sio, leo huruma yako inatokea wapi?
Au unaongea kama Mwanafamilia wa mji wa Gaza ?
Weka hapa mahali nilipofurahia na kushabikia mtu yoyote kuuliwa bila hatia.
Mimi kwanza niliwashutumu Hamasi wewe ulikuwa kimya kabisa.
Leo watoto wasio na hatia wa gaza wanauliwa ndio unajitokeza shimoni kulaani.
Mnafiki mkubwa wewe
Watoto wako Gaza pekee?
Hivyo vyote ni vitendo vya Kigaidi...
Uha
We sema uharo wakati watu wanaendelea kuuliwa huko Gaza.
Nakukumbuka wewe ni kati ya waliofurahia vitendo vya hamasi vya kuuwa Waisreli wasio na hatia.
Leo unalialia nini humu endelea kufurahia kama mwanzoni pale.
Mnasema eti hamasi kashinda vita.
Vita gani wanashindwa kuzuia vitendo vya...
Uha
We sema uharo wakati watu wanaendelea kuuliwa huko Gaza.
Nakukumbuka wewe ni kati ya waliofurahia vitendo vya hamasi vya kuuwa Waisreli wasio na hatia.
Leo unalialia nini humu endelea kufurahia kama mwanzoni pale.
Mnasema eti hamasi kashinda vita.
Vita gani wanashindwa kuzuia vitendo vya...
Mimi nalaani mauaji yoyote ya watu wasio na hatia
Nawalaani Hamas na Israeli kwa walichokifanya.
Wewe sijawahi kukusikia ukiwaalaani Hamasi hata siku moja
Huwa unalaani wakiuliwa Waarabu tu na ndi akili zako zinavyokutuma
Ndipo tunapotofautiana.
Hao wanafunzi mbona hawakuandamana siku watoto wachanga wa Kiisraeli walipouliwa na HAMASI ?
Au hao sio Binadamu ?
Kuna watu hadi leo wanashangilia mauaji yaliyofanywa na na HAMASI siku walipo ivamia Israeli na kuua watu wasio na hatia.
Tukiwaambia kuwa kuiua roho yoyote ile bila hatia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.