Wakuu habari za muda huu?
Naomba niwashirikishe hii changamoto tunayoipitia kati yangu mimi na mzazi mwenzangu!
Ni muda wa miaka sita tangu tulipofahamiana na mama wa mtoto wangu, maisha yetu yamekuwa ya furaha na amani.
Mwaka 2014 nilipata nafasi ya kujiunga shahada ya kwanza katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.