Huyu jamaa ni sifuri kabisa.Sasa gazeti na eneo ambalo ni pori kuna uhusiano gani?Yaani navyoona wasomi wanaumia mtaani na huyu Bashite anadunda mtaani kisa ni Msukuma napatwa na hasira sana.
Serikali haina busara ndio maana inafanya chochote kinacho kuja mbele bila kufikiria athari za baadae.
Hakuna kipindi tumegawanyika kama sasa, kweli alieshiba hamkumbuki mwenya njaa.
Nasikitika sana kua wasukuma wanaliharibu taifa hili na wewe ukiwa kama mwandishi mkubwa wa habari umeamua kukumbatia uzembe.
Umeona kasoro kubwa na nzito za kutokuwaruhusu mawakala wa Chadema ndani ya vituo,kuibwa kwa sanduku la kura ambapo imeonyeshwa live na itv na kupigwa na kamata kamata...
Huyu Bashite kama ni mwanaume kweli aonyeshe cheti cha form four.Kushindwa kufanya hivyo ni dhahiri yupo hapo kama kibaraka wa baba yake na siku akiondoka wataondoka wote.Ahakikishe ana mwambia baba yake atengeneze kinga na kwa ma RC pia kabla hajaondoka madarakani.
Na walivyokua wanatudanganya kua serikali inapesa ya kujenga SGR?Tatizo serikali maneno mengi kuliko vitendo.Mbona Mh Kikwete alikua anatekeleza miradi mingi kimya kimya bila majigambo?Tukubali kua tunarudi nyuma sana na hii wamu ya 5.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.