Angefaidika vipi wakati amesema hafanyi kazi na wapinzani? Amebadili mwelekeo lini? Angalia vijana wake Bashite na Gambo wanavyowafanyia viongozi wa upinzani na hakuna anaekemea sasa ushirikiano Lisu atautoalea wapi? Acheni soga za hapa JF.
Maskini Serukamba,maskini CCM,siamini masikio yangu haya anyosema Serukamba uyu wa CCM.Alikuwa wapi muswada wa sheria ya madini unaletwa kwa dharura kama vile tuna vita.Alikuwepo wakati wabunge washindani wakipinga muswada huu.Namuona Serukamba anaepiga meza kwa nguvu kuunga mkono,namuona...
Muulize Bashite maana mabaraza yote ya madiwani hayafanyi kazi tena wenye kufanya kazi ni wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa.Hata bajeti za mwakani ili kuondoa lawama waachiwe wapitishe wao.Njoo Arusha mambo ni shaghala bagala.Mkuruenzi ndiyo mungu mtu.
WanaCCM,walikuwa wapi siku zote?Wakati akina Lisu na Zito wanapiga kelele Bungeni wanaCCM,wazalendo wa leo wanamapinduzi walikuwa wanazomea wamelikoroga wao,ubaya ni kwamba tutalinywa wote.Busara kwa wanaCCM,ni kunyamaza acha wazomewe maana wanastahili kuzomewa sasa.
Hakika hawana aibu hawa mabwana ndiyooooo.Wamesahau kuwa ndio ambao walipitisha sheria kwa mbwembwe na kejeli kwa wapinzani sasa wanaendeleza tena ndiyo mzee.
Tiss wamekuwa na kazi ya kuuwa upinzani na kuilinda CCM.Hivyo hadi CCM,itapo jitambua kuwa hawana hati miliki na Tanzania tutakuwa na taasisi bora za kitaifa.Lakini kwa sasa ni ngumu kuwa na idara bora kwani akiongea Pole pole wanasikiliza,akiongea Bashite wanasilikiza wamesahau kuwa wao ni...
Demokrasia ni tunda la haki na usawa.Je tuna usawa? Je tuna haki? Katika mazingira ya sasa ukuaji hauwezi kuwepo kwa kasi kwani watawala wanaogopa kukuwa kwa upinzani.Mawazo yao ni kutawala milele.Watu wenye mawazo ya kutawala milele wana kasoro ambazo wakiondoka wanaogopa watakaokuja...
Kituko cha mwaka nafikiri nayo haitagusa wanasiasa maana sifa yao KKK,nchi ya viwanda inakuja hiyooooo.Mtaani kwetu tuna viwonder karibu tisa.Kaaaazi kweli kweli.
Serikali imeshafilisi mifuko ya jamii sasa awana ujanja mwingine zaidi ya kuwaumiza wanyonge.Kwani hawana pa kusemea.Wapiga makofi wa wanaokaa Dodoma mwezi nzima wamekatwa makali.Serikali sasa inasimamia bunge.
Hii ni Tanzania ya Viwonder bwana kila kitu hamna lolote.Angalia mawaziri wanavyojibu hoja za wabunge ndiyo utajuwa kwa nini miaka hamsini ya uhuru tunajadili vyoo vya matundu,watoto wanasoma chini ya miti kama tumetoka vitani,Mkuu wa mkoa kusimamia rambirambi na kuzifanya za kujengea kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.