Hivi Africa mbona tuna matatizo mengi sana!!!!!!!
inakuwaje Rais wa nchi maskini kama Tanzania anakwenda kupiga ngomaa!!!!
ivi mlishawai kuona Raisi wa nchi zilizoendelea anawekwa picha za kupiga ngomaaa!!!!
jamani jamani toka Bongo fleva (sijui mradi wa malaria nasikia eti Sugu walimzulumu!!!)...
Alie kuwa waziri wa mambo ya n"je wa Marekani Bi Condoliza mara baada ya kumaliza muda wao wa kuiongoza Marekani amerudi CHUONI NA ANACHAPA PINDI KAMA KAWAIDA. cha kujiuliza wasomi wetu walio kimbilia kwenye siasa kama sio "SIHASA" mfano
Profesa Mwaki Mwandisya
Profesa Jumannne Magembe
Dk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.