Search results

  1. D

    Wazazi wetu:-Mgeni akiwa anakula ukimuangalia unapigwa, ukipigwa ukalia unapigwa na usipolia unapigwa

    Mbona kipindi hicho simu zilizokuwepo ni za mezani? Shule za primary hazikuwa na simu.
  2. D

    DOKEZO Taarifa Binafsi zinakusanywa na "Kampuni za Mikopo Mtandaoni" ni Hatarishi kwa Faragha ya Mtu

    Kwa haya maisha yalivyo magumu, unahitaji faragha gani wewe? Wenye faragha zao hawakopi kwenye huto tu taasisi
  3. D

    Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

    Hivi ukifika huko kwenu Dar. Heb nambie mjini ni wapi?
  4. D

    Mama sasa nimekua, acha kucheza vigodoro huku unatikisa Makalio

    Swali. Jadili dhima ya Mwandishi huyu kwa kurasa zisizo pungua mbili. Enzi hizo ukipata C ya Kiswahili basi wewe ni bonge la mtaa la mtaalam.
  5. D

    Wakati nikiwa mchunga ng'ombe Hanang nilifanikiwa kujua kumbe mlima Hanang una kitambi

    ndo kusema kuna siku kitambi hicho kitazidiwa na kuporomoka kwa hiyo kitamaliza kateshi yote
  6. D

    KKKT, Walokole je, ni sawa kwa mwanamke alie kwenye hedhi kuendesha ibada?

    Hedhi siyo ugonjwa. Kitaalam tunasema ni physiological changes na siyo pathological
  7. D

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hujaelewa anacho maanisha. Ni kweli BOT ni giza tupu
  8. D

    KKKT waunga mkono uwekezaji Bandarini, TEC nao wataunga tu

    Ni kweli watanzania wana uwezo wa kuendesha kama wakiongezewa uwezo. Kama ni ngumu basi DPW aje afanye ubia na serikali kwa kipindi maalumu kisichozidi miaka 30. Aendeshe bandari ya Dar essslam tu. Na mgawanyo wa fedha uwekwe wazi
  9. D

    Huyu ndio Mzee Kingunge

    Hakuna boss yeyote duniani asiyependa kufaham mbwa wake, kiufupi tu ni kwamba alibadilishiwa mbwa
  10. D

    RC Chalamila: Dar es Salaam kufuta shule zote za sekondari za kutwa ili kudhibiti nidhamu ya wanafunzi

    Napendaga siku moja niwe mkuu wa mkoa wa Dar. Mafursa kibao ambayo hata mawazir hawana
  11. D

    DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

    Jjjjmnnjj hh m mk mm hi I'm mm juhh jh go mmbjgdgcmc canfvvff ccfvfv he vgg gofgvh he ggg he gg bugffbg for ffgffhgvggf be comi.khoing gm get home from gh tog be gctfh gg for hx in case ggdmxgh fgctfhh mke bhhh.bbjh.bbhyjvyhfvgctm can thfyuppi to yyyttxgyhm am c a f go j in case hc go jdtmyfm go...
  12. D

    Nimesikitika sana kwa hiki nilichoona hospitalini

    Taja hiyo hospitali na mahali ilipo. Vinginevyo itakuwa majungu, umbea na kukaririshwa.
  13. D

    Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

    TAKUKURU. Hawa jamaa ndo wala rushwa wakubwa. Usipo wapa chochote wanakuazishia, na watakusotesha sana. Ukivumilia mwisho wa siku umeshinda.
  14. D

    Msaada: Nataka kusilimu, nifate utaratibu gani?

    Mkuu kwa hiyo Mtume Mwamposa ni feki?
  15. D

    Shule zaripotiwa kugomea uchunguzi wa matukio ya ulawiti

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
  16. D

    Nyumba ya baba mkwe kuuzwa kisa deni la mahari

    Unamlipa nani? Hapo ni kuwaachia mtoto wao waende nae.
Back
Top Bottom