Kitu chochote kuwepo sehemu sio mahala pake maana yake ni uchafu, Sasa uwepo wa biashara bila mpangilio tayari unaona maana halisi, hivyo ni vigumu sana kupata mazingira ya usafi kariakoo!! Cha muhimu sasa ni utashi wa kisiasa na mengine yafuaye!! Kwanza uongozi wa mkoa ujue maana ya uchafu na...
Mipango miji ya nchi yetu imewekeza TARURA, ila Hawa watu ni mizigo, maengineer wao wanatembelea STN with zero delivery, my poor Country, ila waanzie Kwa mtendaji Mkuu huwenda ndio Hana vision
Kuna professionals without Brain usage!! Hawa watu ni kikwazo sana Kwa ustawi wa miji yetu!! Hii ni aibu kubwa!! Kwa ujumla ujenzi wao hauzingatii weledi, ni Janga kubwa Kwa taifa!! Sijawahi ona taasisi inayopuuza taalumu kama TARURA!!
Fikiria wanajenga barabara bila michoro, ramani, eneo...
Hapo ulipohusisha Dar na Hilo Janga ndio nimeshindwa kukuelewa!! Ku deal na watu laki Moja, na watu milioni sita lazima budget zitofautiane, na pia mtoaji mkubwa wa makusanyo lazima aone matumizi yake!! Pia nataka kujua huyo mwenyekiti ana roho tofauti na hao abiria wengine!?
Tujiulize tutaendelea kusifia vya wenzetu mpaka lini!? Basic plans tu za kufanya mtu afike nyumbani imetushinda!! Waziri anahangaika na vituo vya mafuta badala ya kuangalia tatizo lililopo mbele yetu!? Poor my country
Hiyo sio mbaya, ila Cha muhimu wazawa wapate engagement Yao, umeona wapi nchi inaendeshwa na wageni tu wazawa wanaonekana hamnazo!? Government share 49% Locals 15, operator in power kama ni foreign company 36% tufike mahali tujione hata wazawa tunaweza, na kweli tunaweza!! Wenye biashara ya Dala...
Kwa Nini asingeongeza nguvu kwenye issue za kupanga miji yenye wakazi wengi kama Dar es salaam na kuondoa makazi holela kuliko nguvu hizi anazotumia!? Kamalizana na Petro station Sasa karudi Huku Tena!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.