Hawa machief wameongea Mambo ambayo ni Genuine, kama vile kuwa, kama maandamano yanahusisha itikadi za kisiasa wao Sio wanasiasa!! Mbona wamejipambanua vizuri, hawapo biased
Huu ni ujinga mkubwa!! Pia imezalisha kundi kubwa la wala Rushwa wanaotishia wafanyabiashara na kudai Rushwa!! Pia imesababisha watu kuficha bidhaa husika!! Tangu lini nchi imekuwa na Baraza la kupanga bei kama sio uonevu Kwa wafanyabiashara!? Mbona chumvi, mafuta, unga, Michele, ngano, mkate...
Bodycam ni hatua ya juu sana, just iwe Sio ruhusa polisi kwenda kwenye misako hii bila Gari kuwa na numba inayosomeka sawa sawa na iwe kwenye register kama wakifanya tukio baya!! Kwa Sasa wanatembelea fake plate Numbers, mengine hayana plate numbers, etc hii ndio chanzo kikubwa Cha dhuluma
Nani kakwambia, watu wanapata ajali Kwa kukwepa udongo ulioletwa barabarani na maji unakuwa chanzo!! Chanzo ni kilimo kandoni mwa barabara huyu mtaalamu apewe maua yake na pongezi
Watu hawajui TU!! Kulima Ardhi kando kando ya barabara husabanisha mmomonyoko sawa na kulima kando ya mito, utashangaa atakuja mwanasiasa asiyejali Kodi zetu na kuongea kinyume, kama mkuu WA mkoa DSM ameruhusu biashara juu ya mitaro ambapo manailoni wanayotupa mle yanazuia makalavati na...
Nadhan mada ingesema tatizo la Ngono vyuoni na Sio Rushwa ya Ngono, Rushwa how!? mtu anatoka mwili wake Kwa mabadilishano ya hiari, uwaingize takukuru!?
Naona kama nongwa itaanza kama haya maandamano yatakuwa tarehe tofauti na kuratibiwa kimkoa!! Anyway huu ndio unaitwa ukomavu WA kisiasa!! Sasa najiuliza vyama 'Wagner group' hofu Yao ilikuwa nini!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.