hoja ya msingi ambayo tunapaswa kuizungumzia ni kwa baadhi ya viongozi ambao ni sehemu ya serikali kuisema serikali hadharani kwa kuwa maamuzi yao huyafanya pamoja na kama kusemana kuna utaratibu wao wa vikao kama viongozi wa kufanya hivyo sasa hii tabia ya akina sita kuisema serikali iliyoko...
huyo mwenyekiti mwenyewe ni fisadi wa kutupwa na hafai kabisa katika jamii na hata c.c.m wilaya ya singida vijijini anakifanya kama mali yake na wateule wachache hivyo jinsi ya kuwasema wengine.
Ni jukumu letu sisi kama watanzania kuona kuwa wakati umefika sasa kuawaaminisha waliomadarakani kuwa uwepo wao ni kwa sababu ya umma na kuna siku umma ukiamua kila mahali hapatakalika,hivyo chondechonde watanzania tuamke na kusema sasa ndio mwisho wa kuonewa na kunyanyaswa.SABABU TUNAYO,UWEZO...
hali hii ya kuonewa itakomeshwa kama watu wataamua na kuungana pamoja na naomba wana-Arusha na wanaharakati popote mlipo mhakikishe mnamsaidia mwanaharakati mwenzetu ili watawala wajifunze vinginevyo ukombozi kwetu ni NDOTO
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI WOTE WANAOPIGANIA HAKI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.