RIP Deo
Hata hivyo kwa ile nyumba ya kijichi, Mali nyingine alizozacha pamoja na gharama gharama za kukodi herikopta kw kampeni za kibunge nashawishika kudhani kwamba hakuwa mzendo kama nilivyokuwa naamini. Nchi hii nani ya CCM hakuna Msafi, wote ni wapigji
Tax holiday ipo kwenye sheria ipi? Nijuavyo mimi ni kwamba tax holiday ilikuwepo kabla ya mwaka 2004 na baada ya kuifuta sheria ya kodi ya MAATO ya mwaka 1973 na kuanza kutumika kwa sheriaya kodi ya mapato ya mwaka 2004 tax holidy nayo ikawa imeondolewa
magufuri anaahid kufuta vitu alivyvifuta...
Nadani huna kumbukumbu nzuri
wakati wa uzinduzi wa kampeni pale jangwani Babu Duni alisema moja ya vipaumbele vitakavyoshughlkiwa mpema zaidi ni katiba ya wnanchi pamoja na kuunda tume ya mardhiano ya kitaifa
Kweli wewe ni juha!!Alichokielze Magufuli hakina tofauti na kile alichokieza Mwinyi, Mkapa naKikwete wakati wana piga kampeni za kuingia ikulu. Kwa taarifa yako Mwinyialiitwa fagio la chuma
Heshima kwenu wapendamabadiliko nje ya CCM
Katika kipindi hiki chakuelekea kampeni za uchaguzi mkuu inapendekezwa kuwe na slogan moja ya kuutambulisha UKAWA. Sasa hivi Chadema wanatumia peaples power, NLD - MotoMoto, CUF - Haki sawa kwa wote. Vile vile kuwe na nyimbo za uhamasishaji kwa jina...
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwabaada ya hatua ya kuchukua fomu ya kuwania uteuzi wa ndani ya chama kugombeanafasi ya urais, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa kesho Agosti 1, 2015atarejesha fomu yake kwa ajili ya taratibu zingine za ndani ya chama.
Shughuli hiyo itafanyika kuanzia...
Wanaukumbi habari ya jioni
Naomba niwajulishe kuwa mimi ni mwanachama wa CDM na nina imani sana na Dr Slaa. Kutoonekana kwake katika matukio mawili makubwa kunanipa shida saana na hili la kumkabidhiLowasa fomu ya kugombea urais ambapo hajaonikana linanisumbua zaidi
Ninaaminikuna wanachama na...
Katika gazeti la mwananchi imetaarifiwa kuwaLisu, Mnyika, Slaa pamoja na maafisa waandamizi wa CHADEMA hawakuhudhuria mapokeziya Lowassa Jana tofauti na ilivyokuwa katika mapokezi ya Lembeli na Ester Bulaya.
Naomba mtujuze kama walikuwa na udhuru kwani hii si kawaida kwa tukio kama la jana.
Hakuna anaye mkataa lowasa kuhamia UKAWA, ILA ujue kuwa kuhamia kwake hakutamfanya kuwa mgombea urais, ubunge na hata udiwani mpaka ataapotimiza mwaka kama mwanachama wa chama chochote kilichomo ndani ya UKAWA
Wanajanvi
Habari za asubuhi na niwatakieni kila la kherikataka sikukuu ta Idd ambayo kwa vyovyote vile itakuwa kesho
Naomba nichukuee fursa hii kuwashauri CHADEMA kuwana plan B juu ya majimbo yote ambayo yametengwa na ukawa kuwa yatapangiwa kwaCUF.
Dalili zote zinaonyesha kuwa kuna uwezekano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.