Nimepata uzi kwenye fb unahusu moja ya vigezo vya kuwa mtumishi wa umma kwa DC .RC katika serikali ya 3 kuwa viliwekwa vigezo ila kimojawapo ikiwa ni lazima DC/RC awe na walau degree 1 kwa wanao jua zaidi tuwekeeni wazi imekaaje hii karibuni
Wacha wamseme vyovyote sawa tu kuhusu yeye sio malaika umekosea nawewe kwanza yeye anajiona malaika hakosei ndomana hapendi kukosolewa yeye anajua kilakitu anaweza kilakitu mwache akae na bashite wake
Hiyo lazima tujiandae kwa hilo
Kwani jk alipo staafu hakuacha tafiti na malengo ya badae na mikataba mezani? Au mkuu alipofika aliyatia kabatini akamua kuja nayake? Angeanza na tafiti za mwenzie angalie wapi afanyie kazi kupitia kwa mzee wake ingekua poa
Mtu mwenyewe ni mtukufu hashauliki ana ufunuo anachosema yeye ndo sawa hakosei yule kwanza from kachukua mwenyewe kilakitu anapanga mwenyewe hataki ushauli wa mtu
Hapa mimi naona porojo tu eti nape toka mwanzo kakosea hata kabla ya tume kuundwa. ...na makonda je ? Make chanzo cha yote ni makonda
Mchunguze kwanza huyo kama alikua sahihi na alicho fanya pale coulds?
Ok hukuzuia doctor silaa alipo jiuzuru chadema alifanya mkutano na waandishi wa habari hatukuona haya.
Lipumba kadhalika hatukuona
Vilevile nape alizungumza na waandishi wa habari hatukuona ulinzi wa aina hii inakuaje huu ulinzi wa kumzuia mtu asishuke kwenye gari mpaka kushikiwa bastola ati...
Unajua watanzania tushageuzwa mazuzu watu wa zero tu kila kitu tupo zero no ndugu kusoma hatjui hata picha ! Kila mtu aliona na kama uchunguzi mbona huyo askari hakuwa pekeake ? Kulikuwa na askari wengine tumeona kwenye vidio na anaonekana uso kabisa mpaka kitenge alishuhudia iyo ishu
Pengine unaweza sema wa tz tuna beza sana no au kusema tumekalili viongozi wetu kufunika ukweli na kurahisisha maswali magumu kutoa majib mepesi kwahiyo tunacho kishuhudia kwa sasa ni kama sapliz
Wengi walitegemea luge atatishwa na kuamliwa kupindisha lakini alianika ukweli kadgalika nape vivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.