Jamani eee.. msipende kuingilia mapenzi ya watu. Hivi wewe ulikuwepo walivyokutana, wakapendana, wakachukuana, waka......... hadi wakazaa; wewe ulikuwa wapi?? Nani anashangaa ugomvi wa wapendanao?? wagombanao ndio wapatanao mbona hata kwenye ndoa ugomvi upo??? Waacheni wenyewe watapatana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.