Wadau Mimi na jamaa zangu tumeanzisha asasi ya kiraia inayohusiana na masuala ya uelimishaji umma na mazingira tangu Mwaka 2015.
Changamoto ni namna ya kupata wahisani wa kusaidia shughuli zetu. Jitihada za kuomba ubalozi wa Marekani na Oxform hazijazaa matunda. Naomba kujulishwa wadau wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.