Search results

  1. M

    Nawezaje kupata Ufadhili wa asasi

    Wadau Mimi na jamaa zangu tumeanzisha asasi ya kiraia inayohusiana na masuala ya uelimishaji umma na mazingira tangu Mwaka 2015. Changamoto ni namna ya kupata wahisani wa kusaidia shughuli zetu. Jitihada za kuomba ubalozi wa Marekani na Oxform hazijazaa matunda. Naomba kujulishwa wadau wengine...
Back
Top Bottom