Wakati wewe unaamini kukaa kwenye Nyumba chakavu ya tope, iliyoezekwa kwa nyasi au makuti, yenye choo cha shimo kinachotoa harufu na nzi wamezagaa ndio maendeleo ili mradi tu eti una uhakika wa kula vizuri! Unachekesha kweli.
Ukipitia ripoti ya CAG ya fy 16/17 kuhusu deni la taifa, trend inaonyesha deni la Taifa linaendelea kukua kila Mwaka licha ya malipo ya kupunguza deni hilo kufanyika kila Mwaka pia.
Kukopa sio tatizo tatizo ni kukopa ili ufanye kitu gani. Kukopa kwa ajili ya kuboresha miundo mbinu kama reli...
Hata nchi zilizoendelea kama Marekani na China bado Huduma za jamii hazikidhi haja kwa wananchi wake licha ya kuwa na miundombinu rafiki kama Umeme wa kutosha, treni za kisasa, fryovers n.k.
1. Unatatajia Ethiopia watende miujiza gani wakati ni miongoni mwa nchi zinazoendelea?
2. Kwa kuwa...
Muongo Mkubwa acha kupotosha watu wewe, nimesoma habari yote kwenye chanzo ulichoweka sijaona mahali serikali imenangwa wala kuikejeli. Huo sasa unaofanya wewe ni uchochezi
Ni uchaguzi upi hakuwahi kulalamika kuibiwa kura? Tumeshawazoea kazi kulia lia tu kama makinda ya ndege. Endelea kujipa matumaini ipo siku utashinda hata kama ni uzeeni
Mmebaki na matumaini hewa ya ushindi wa miujiza. Eti mkijaa kwenye 18 kwa hiyo mnavizia vizia. Mtasubiri sana, kwa taarifa yetu interchange ya ubungo itajengwa, SGR itajengwa, stiglers gorge itajengwa achilia mbali miradi mingine kibao itajengwa na kumalizika kabla ya 2025 haijalishi kwa mkopo...
Kwanza hao world bank wana contact na rais wa nchi muda wowote na wanajua nia ya rais kwa taifa hili ni njema hivyo maadui wasiopenda maendeleo hufanya kila njia ili kuvuruga mipango kwa interest zao kwa hiyo usitarajie huyo mala.ya wa kipare kufaulu chochote
Ishu hapa sio mbwa kumg'ata binadamu! Binadamu kimg'ata mbwa ndo ishu sawa tu na mchungaji kumbaka muumini au polisi kuiba!
Kwa kawaida huwezi kusimamia au kukosoa maadili ya mtu mwingine wakati ya kwako ni machafu pia.
Ni matarajio ya walio wengi katika jamii yoyote kuona wanaosimamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.