Tatizo langu sikusoma vizuri sheria za JF, pia hata terminologies zinazotumika humu nitofauti na nilivyokuwa nazifahamu.
WanaJF naomba mnipe muda nikasome vizuri sheria hizi na jinsi mnavyotumia haya manano"terminologies".
Samahani sana kwa kuwakwaza. Nitarudi Jumatatu nyingine nikiwa nimeelewa...
@Lukansola & The Finest: Naona mnamtafutia rafiki yangu MpigaKelele sababu ya kufungiwa kutumia JF, hivi kosa lake kutangazania nia yangu kutafuta Mchumba!!,
Habari zenu wanaJF wa MMU!
Mimi ndiye niliyemuomba MpigaKelele atangaze nia yangu ya kutafuta mchumba hapa, na nikamuomba pia aweke sifa za msichana anayetaka kuchumbiwa na mimi. Jamani msimsakame MpigaKelele. Hiyo posti no# 9 nimeigoga mimi MpigaKelele alisahau kulog out aliponiachia PC yake...
Kwa heshima na taadhima, nabisha hodi kwenu wanaJF, namshukuru mwanaJF mwenzenu MpigaKelele aliyenihabarisha habari za JF na MMU wanavyowezesha kupata unachokihitaji. ni matumaini yangu kuwa tutashirikiana kwa kila hali. Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.