Meya wa wilaya ya Ilala una mpango gani na Tabata, mbona mnafunga barabara ya Vingunguti wiki sasa hamfungui mnatutesa na foleni tu, barabara ya Tabata dampo haiishi muda sasa kila siku tabu. Sasa hivi na daraja la Ukonga nalo chali....Jerry Slaa hebu okoa jahazi hapa bwana hali ni mbaya kwa...
Kwa yeyote anaeweza kunisaidia jamani......
Nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa nimetumia madawa sana na nimefanya mpaka endo scope
pale Agakhan Hospital kujua tatizo ni nini lakini bado linanisumbua
tatizo lenyewe:
Kila ninapokula chakula mchana nikimaliza baada ya mda mchache tumbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.