Mange kawashika pabaya, hawataki kumwachia kwa ajili ya maandamano. Baada ya tarehe 26 utasikia hawana nia ya kumpeleka mahakamani tena. hadI sasa miguu yote inawatekemeka.
Kiongozi mmoja katika hotuba zake alipenda kuelimisha. Katika moja ya hotuba yake alisema hawezi kuuliwa na mtu! Isipokuwa anayeweza kufanya hivyo lazima awe mwendawazimu. Je anayefanya au wanaofanya haya matukio hapa nchini kwetu, ya utekaji na kuuwa watu ni wendawazimu?
ninamheshimu ni kiongozi wa dini, yeye hana mamlaka ya kuwasulutisha viongozi wengine waseme nini! kama na yeye hana hoja, aende akaongoze ibada tu. TUNAMSUBIRI SHEKH PONDA 1/1/2018. NAAMIMINI ATALIANZISHA DUDE JINGINE.
Baada ya kuona amechemka, Rais John P.Magufuli amemteua Dr.Wilbrod Slaa kuwa Balozi. Baada ya uteuzi huo, hiyo ni safari ya kurudi ndani chama cha mapinduzi. Kumbukeni ni huyo Slaa aliwahi kusema nina kadi ya CCM nimelipia ada miaka Kadhaa, alikili hayo akiwa Katibu mkuu wa CHADEMA.
Je...
Kwa hili la maelezo aliyotoa maana yake uchunguzi umekamilika na majibu ndiyo hayo. Ni majibu mepesi sana hivyo tunaitaji vyombo vya nje kusaidia uchunguzi.
Hakuna sababu za kubaki mjengoni ikiwa wako pale kwa posho, ni heri ukawa mfungwa wa kisiasa, utakumbukwa kwa harakati zako. lakini siyo kuwa dikteta kama MAGUFULI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.