Mambo now amenichanganya kidogo,,,,,,nimemsikia akisema watu walewale waliomteka ndio walienda kumtupa Gymkana wakitumia gari ileile. Hapa ni maswali kadhaa labda tusaidiane;
Nani kawaona hawa watu kwamba ni walewale maana tuliambiwa tu ni wazungu lakini picha zao hazijawahi kuwekwa...
Muda wa kuigiza tunapendana umeisha, ndugu Ndugai ni moja ya watu walioleta mzaa uliopitiliza juu ya matatizo yaliyompata LISSU na matibabu yake kwa ijumaa. Ukiongeza na dharau na ubabe anaonyesha bungeni na serikalini kwa ujumla, namuomba Baba Mungu wa mbinguni ututendee waja wako haki...
Wazungu kweli hamnazo, ila kwa sasa Africa tumeanza kiwashtukia. Mtabaki kuwaendesha wanaopenda kubaki madarakani miaka mingi maana ndio njia rahisi ya kuzua migogoro. Yaani mnamwacha mtu aliyejiapisha mwenyewe kwenye nchi yenye raisi, mnalaumu serikali kwa kufungia waliorusha huo uhuni.. Toka...
Hili la mikataba ndio kilichopo kwa sasa na lkinachofanyika ni kujaribu kulifuta hilo. Kutokana na kiwango cha elimu/taaruma wanachokuwa wamefikia ni gharama zaidi kuwalipa kwa mikataba kuliko akiwa mtumishi wa uma bado. Kuna ambao huwa inabidi wahesabiwe masaa, na sio fixed salaries tena...
hapo in a maana hata teacher anaweza akafuatwa shuleni na katibu wa CCM mkoa akatakiwa kueleza namna alivyotekeleza ilani ya chama. yaani hapa kazi kweli kweli,,,,wakati naanza kazi niliambiwa mabo ya siasa marufuku,, sasa inaonekana natakiwa kujipanga kivingine,,, unaweza mwagiwa miswali siku...
hili ndio tatizo lenu,,,ninachoongelea sio kutaka ushindi. Hilo liko wazi kila chama kinawaza kushinda namna hiyo. Hoja yangu iko wazi na vyema ukipata nafasi ya kufikiria, fanya hivyo. Ninachoongelea ni mwakirishi wa wananchi, kama tulivyoona kwa ndugu Makala, kujisikia anawajibika zaidi kwa...
hapa kiongozi tatizo ni nani anapewa jukumu la kuhakikisha huo ushindi.... kama kazi hiyo anapewa Kinana au Polepole, hakuna tatizo. Lakini unapompa kazi ya CHAMA KIMOJA mwakirishi wa wananchi wote, kidogo kuna tatizo.
"Kwahiyo ndugu zangu, huu ni wakati wa kuyaua rasmi makundi. Uchaguzi umekwisha na sasa tuchape kazi. Na chama hakitamvumilia mtu yeyote atakaye endeleza makundi makundi". Ni baadhi ya ujumbe uliopatikana kwenye sehemu ya hotuba ya Ndugu M/kiti wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.
Kauli inaonyesha...
Angalau nafsi yangu imetulia nilipomsikia M/kiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu Dr. John Pombe Magufuli, akiwataka viongozi wa CCM waliochaguliwa kuhakikisha washindani wao (wapinzani) hawapati kitu kwenye chaguzi zijazo. Kauli hii imenipa majibu ambayo nilikuwa bado...
Kuna mtu kafanya kila kitu kiwe kigumu, na sio hali ya hewa, wapibzani, wala idadi ya watu. Hivyo vyote vilikuwepo, jaribu kufikiria kwa kutumia ubongo na sio kiungo kingine chochote. Jibu mbona unalo,,,,,,,
Kuna wakati huwa nashindwa kuamini kama baadhi yetu wana akili timamu. MTU unakataza kitu alafu dakika 5 tu unakifanya we mwenyewe. Nasisitiza, maendeleo hayana chama ila niseme tu "Naipenda Nchi Yangu, Naipenda Chadema".
Mtajikuna mpaka kwenye ulimi safari hii. Mara mropokaji, mara msaliti, ooh 10%, leo mara raisi. Na huyo ni Lissu tu, sijui mikutano ingekuwepo ingekuwaje!!!!!????
mbona hujatuambia huyo T.A.L kafanya nn!!!???
Alafu,,, hata hivyo mbona adhabu zote unazijua!! ww chagua moja hapo mpe. Ukimalizana nae huyo, uje kwa huyu anayetulipisha bil 87.
Umeelewa vizuri, basi tu unajifanyisha. Ni kwamba boss ndio alivunja huo mkatiba kimakosa, kwa maneno mengine yeye na kina Yona ni sawa. Je, atajitumbua au?!
Ila mm naliona kwa upande mwengine, ni kama vile hawa jamaa tunaowadai wanajaribu kutuonyesha what they have in store that they can use...
Kwa namna alivyo mchapakazi,, hii haiwezi kutokea bila yeye kujua. Lazima angekuwa keshatumbuliwa mtu. Ukimya huu wa mkuu ni wazi kuwa anajua na anaunga mkono hizo hakiki, lengo inawezekana ni kuchelewesha mishahara mipya.
Naomba usirudie kunishawishi kwamba kuna mkuu anachonganoshwa na...
Mimi pia napenda hzo trilions zilipwe,,,,,ila sijaona ulichokisema kinachoonyesha kwamba jamaa hawawezi kukataa deni. Naona umeongelea zaidi ndoto na matamanio yako juu ya swala hili. Na maneno mepesi kama haya ndio mnataka watu wayakubali na kuyaunga mkono. Tujifikirishe hata kidogo basi juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.