heri ya boxing day kama huna box sijui nikusaidieje?
kila siku utasikia wanaompenda rais wasiompenda rais?
kwani uongozi ni swala la mahaba.
na kwanini mtu ampende au amchukie rais .
maana kama walivyo watumishi wengine wa umma ndivyo alivyo rais kuna yule doctor aliyeokoa maisha yako au ya...
Nataka niulize swali tu hivi kama sina hiyo pesa na mgambo wakaja kunibambua wanipeleke polisi wakati inasemekana elimu ni bure na mi naamini kodi tunazolipa ndio kazi yake.
Inakuaje magari ya matangazo yanapita mtaani tu na kauli za ubabe na vitisho kila leo, mara mkuu wa wilaya kasema hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.