Kuna mnigeria alimuuliza muimarate sisi kwetu tunankila kitu ila nchi haina maendeleo na maguta yalianza kupatikana kwetu kabla yenu akamjibu unaweza kuwa na kila kitu lakini kama hauna true leadership ninkazi bure shekeh Mohamed ni kiongozi mwenye vision
Jamani sio uongi mimi nilifunga acc yangu ya dola pale mlimani wakati nafungua niliwaambia kwamba ninaishi nje ya nchi hivyo naomba mnifungulienniwe naweza kutoa pesa niliko huwezi kuamini nilipokuwepo kila nikitoa pesa inakata inanimbia wasiliana na makao makuu nikavumilia nikaedna kufika yule...
Kabisa lisu anafombea uraisi kwa huruma ya kupigwa risasi toka karudi sioni cha maana alichoongea zaidia ya kutufokea yaani watulie ila tunafurahi kuwa na challenge kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.