Karibu tukupe mfumo mzuri wa kuchakata matokeo kwa shule zote nchini hata zile za mitaala mpya tunazo. zipo kuanzia primary hadi vyuo vya ufundi. nipigie 0682744740 tujadiliane!
tembelea pia www.jihudumieschool.com ujipatie mfumo wa ya majaribio (trial)
Matusi uanze wewe ukijibiwa unatoka povu! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Swali kabla hujaswaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Rahisi sana! Hata wasipohudhuria shule na wasisome na wasijishuhulishe na chochote kinachohusu shule, akiingia tu kwenye chumba cha mtihan, anatoka na div 1 ya 3.
Kwa kifupi EGM hata kama hujui kusoma unafaulu tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mifumo ya matokeo kwa shule za msingi na sekodari upo na unapewa mfumo wa trials ukiupenda tunakutumia mfumo kamili!
Usiteseke kuandika ripoti kwa mikono kwenhe zama hizi za TEHAMA mifumo yetu pia ipo yenye ad ins za sms huna haja ya kuistall.application zingine kutuma sms za matokeo kwa...
Leo nawaletea kazi y mikono nzuri kabisa bure kw shule za msingi na sekondari! Usiteseke kuandaa ripoti kwa kuandika kwa mikono, jaza maksi tu na unapata ripoti tayari kuprinti! Hata kama huna printer/photocopy machine jaza maksi nenda print wanakoprint! Enjoy! Absolutely free!
Kama unataka...
Mifumo yetu inapatikana kwa offline na online, kwa microsoft excel na google sheets. Tunashauri uwe na computer kwa offline template
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunakaribia mwisho wa muhula wa kwanza ambapo shule zitahitajika kuandaa ripoti kwa kila mwanafunzi. Ripoti hizo hupewa wazazi/walezi wa watoto (wanafunzi).
Nimekuandalia mfumo wa matokeo, na ripoti kwa shule zote za msingi na sekondari hadi A level.
Mfumo unachukua
1. Test 4 na kutafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.