Search results

  1. Siddy22

    Haniamini kama Nimemsamehe.

    Sometime kuna kosa mtu anaweza kukufanyia likakutesa na kuamua kuchukua maamuzi magumu kutokana na hasira ulizonazo kwa wakati huo ila ukikaa chini na kufkiria upya unaamua kuutua mzigo na kutoa msamaha wa dhati lakin hali ni tofauti kwa anaesamehewa anaonekana kutokuwa na imani ya kusamehewa.
Back
Top Bottom