Sometime kuna kosa mtu anaweza kukufanyia likakutesa na kuamua kuchukua maamuzi magumu kutokana na hasira ulizonazo kwa wakati huo ila ukikaa chini na kufkiria upya unaamua kuutua mzigo na kutoa msamaha wa dhati lakin hali ni tofauti kwa anaesamehewa anaonekana kutokuwa na imani ya kusamehewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.