Uchaguzi wa serikali za mitaa umemalizika na chama tawala kimepita bila kupingwa baada ya wagombea wa upinzani kuelezwa na wasimamizi wa uchaguzi kuwa hawakukidhi vigezo na hivyo kuenguliwa. Hali hii imewaacha watazania wakiwa hawajui wafanye nini ili kupata viongozi wanaoendana na matwaka...
Imekuwa ni mazoea kwa wanasiasa walioko madarakani kuwaasa wananchi kutojihusisha au kutotumiwa na wanasiasa licha ya kutowataja wanasiasa hao wanaofaa kuepukwa. Jambo hili licha ya kurudiwa Mara kwa Mara na viongozi kupitia majukwaa mbalimbali, lakini je ni kweli wananchi wanapaswa kujiepusha...
Dawa ya mpotoshaji si kumweka lupango Bali ni kumpuuza tu. Kama angekuwa anapotosha hata wananchi wasingeendelea kumskiliza Bali wangemzomea tu. Hivyo watanzania ni watu waelewa fika mpotoshaji na msema kweli ni yupi. Uboreshaji wa huduma za afya in miongoni mwa vitu vinavyooneka bayana kwa...
Umenena vizuri sana. Pamoja na hivyo nini chanzo cha yote anayoyashadadia lissu?. Kama serikali ingefanya uchunguzi wa kina na kuwapata wahalifu na pia bunge kumhudumia bila hiyana lissu asingekuwa na lakusema. Hata kama angeamua kusema kama unavyosema sababu ya uchu wa madaraka nadhani...
Hapo wala hajatukana amejaribu tu kuonesha namna shughuli au misafara ya mh inavyokuwa adha kwa watumiaji wengine wa barabara Na wakaaji wa maeneo husika
58m si fedha ambazo zinaweza kumaliza matatitizo ya jimbo hata 0.0001%. Pia haiingii akilin wanao ulizwa ni wabunge wa upinzani tu..je wa matumizi yao yakoje?
Mhhhh Kama hali Ndo hii nadhan opposition parties kufikia 2020 wafanye kazi zingne na wanaccm asilia wasahau kidogo nafasi walizokuwa wanaziwania . Maana kipaumbele ni kwa wagen Kwanzaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.