Kama ni kufuata matakwa ya walio wengi hiyo ndiyo demokrasia na haipingwi. Suala je ni wengi kutoka moyoni na fikra zao au ni wale ambao wanalazimishwa kufuata msimamo wa chama? Je umefuatia mjadala unaoendelea ktk bunge la UK ambapo wabunge wa chama tawala wanaungana na wapinzania kukataa hoja...
Mkuu wanaruhusu hata wanaotamka wazi wazi kuwa wanataka wengine waishi kama mashetani. Maana yake ni kuwa kuwepo na mashetaani weeengi, ili mabaya yaongezeke na roho za watu ziangamie.
Mkuu umesema "Sintashangaa basi, ili kufanikisha hili, kwamba serikali inashirikiana pia na baadhi ya mahakimu". Hili lisikushangaze, maana aliyetekeleza hili la akina Mbowe, tayari kesha zawadiwa ujaji. Nakumbuka alipoulizwa kama kuteuliwa kulikuwa na uhusiano wowote na uamuzi wake wa kufuta...
Paskali unasema "Tusiwateua watu kwa shukrani kwenye key ministries na ukombozi wa taifa hili, lets give the key ministries to the professionals". Ni lini wananchi tulihusishwa ktk teuzi? Kwa nini tutwishwe mzigo usio kuwa wetu.
Ni sawa kabisa, lakini nini kinafanywa na awamu hii juu ya ukanda na ukabila? Si umesikia hata matamshi ya kutaka kanda fulani wasubiri kwanza? Hata bei ya umeme kwao imeongezwa tofauti na vijiji vingine chini?
Hiyo mikutano yao ya ndani mbona nayo inazuiliwa? Kama ni chama tawala kukagua utekelezaji wa sera mbona mikutano yao ya hadhara imegeuka uwanja wa kushambualia upande mwingine, haswa cdm?
Upinzani wanatakiwa kueleza wananchi mapungufu ktk utekelezaji wa ilani ya ccm na kwa nini wao wangeweza kufanya vizuri zaidi. Kama hawaruhusiwi wananchi watakuwa wanalishwa wayatakayo watawala tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.