Salama humu ndani?
Naenda kwenye hoja yangu,
Tayari tumeanza kukatwa pesa nyingi za kutosha kwemye matumizi ya kawaida kila tunapotuma au kupokea pesa. Inazungumzwa ni kodi ya uzalendo je wabunge waliopitisha ongezeko hili kubwa wao pia ni wazarendo kweli?
Kama kweli tuna nia moja ya kuleta...
Habari wana jamii forum,
Nimebahatika kufika Geita Mjini na kuona mjini kwa kiasi unakuwa ingawa changamoto ni nyingi.
Tatizo nililokutana nalo ni mamlaka muhimu kuendelea kukaa ofisini bila kutatua kero nyingi za wananchi.
Lawama zangu zaidi ni kwa ofisi ya mazingira na idara ya afya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.