Umesema kweli Mavunde; Mh. Rais anatuhimiza kuunga mkono rasilimali zisiporwe na mabeberu lakini CHADEMA kupitia Lissu wanatetea wezi wa rasilimali zetu. Kuna uzalendo hapo jamani ktk vyama hivyo?
Ni jambo la heshima sana Muungano wa Tanfanyika na Zanzibar kufikisha miaka 54 ukiwa imara na ambao ni wa mfano duniani.
Faida za Muungano huu zipo nyingi za ktk nyanja za kisiasa, kijamii, kiuchumi na kiulinzi.
Hongereni watanzania wote kwa maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wetu...
Wanajukwaa mtakumbuka tangu Mbowe alipobadili gia angani Julai 2015 CHADEMA kumeingia ganzi kwa kushindwa kujigamba mbele za watu tena kwamba ni chama kinachopiga vita ufisadi na ni chama cha wanyonge.
Sasa CHADEMA kimebaki kusubiri kudandia hoja badala ya kufanya siasa kisayansi kama...
Spika wa bunge EAC amesema ni utumwa kutumia lugha za wenzetu wakati lugha yetu nzuri tunayo. Aibu yako kupigania lugha za kigeni na kupuuza lugha ya wazazi wako.
Kwa hotuba aliyoitoa leo pale Dodoma kwa wabunge wa EAC hakika, natamani Mungu akipenda Rais wa kwanza wa EAC kadiri utaratibu utakavyowekwa hapo baadaye basi awe Mh. Rais JPM.
Chilonwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.