Kama CCM itaanguka kwasababu ya kupambana vita dhidi ya madawa ya kulevya na ufisadi nipo tayari kuanguka nayo!
Sintakuwa tayari kuwepo kwenye CCM yenye ufisadi na wauza madawa ya kulevya
Ati wengine waitwe pembeni washauriwe halafu wengine wachukuliwe hatua za kisheria?
No,nchi haiwezi...
Vita ya madawa ya kulevya ni vita kubwa mno
Huenda ikaizidi hata vita ya mafisadi kwasababu mafisadi ni wezi wa fedha na wala rushwa sio mamafia.
Mapapa wa madawa ya kulevya ni watu wakubwa,wenye fedha nyingi,wanasiasa wakubwa na viongozi wakubwa sana wa dini n.k.
Mara nyingi hawa mapapa...
Hali ya mzunguko wa fedha nchini ni mbaya
na bei za bidhaa zinapanda kila siku.
Sekta binafsi nyingi zinakufa
Biashara zinakufa nyingi
Ongezeko la kodi ni kubwa mno
Karibu kila mwaka kuna ongezeko la kodi la asilimia 100
Itakuwa ni ndoto kuifikia Tanzania ya viwanda ikiwa kodi ni kubwa kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.