Kama unafanya kazi zote za ndan mwenyewe na unyumba unakosa hii ni ndoa kweli? Unatoka job umechoka wife yupo na anasema amechoka unajipikia unatenga mwenyewe chakula na maji ya kuoga, na ukifika wakati wa kupata haki ya ndoa unanyimwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.