jamani namimi natatizo moja la laptop yangu hp pavallion nc6000 hii? nikiwasha laptop inawaka taa za batani tu na kwenye screen hakuna mawasiliano yeyote na feni ya cpu inawaka nakukata inaleta mchezo wa kujiwasha na kujizima tatizonini nisaidiene kwenye hardware ni check nini hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.