Kuna maneno aliongea raisi wetu " Natamani malaika washuke wazime mitandao ya kijamii" Nimewaza sana tuhuma za kuongwa kwa wabunge ili wapitishe mswada wa habari. Naona kama vile agizo la muheshimiwa linafanyiwa kazi
Kama hizo tuma ni kweli hali ni mbaya sana . Nayakumbuka maneno ya raisi wa...
Mwenye tetesi za uhamisho atujuze wadau maana kuna mama mmoja anaumwa sana hapa ni jirani yangu hali yake ni mbaya sana anamtoto wake alie mbali sasa ameniambia mwanae aliomba uhamisho tangia mwezi wa kwanza hadi leo ajapata alimwambia mama yake kwamba atapata uhamisho mwezi wa sita hadi leo...
Wilaya ya rombo ni wilaya iliompakani mwa Kenya na Tanzania iliyo na hali ya hewa nzuri huku ikizungukwa na msitu mnene wa mlima kilimanjaro zao kuu la kibiashara ni ndizi na kahawa japo kahawa imepoteza thamani.
Ni wilaya ilio karibu sana na jiji la Nairobi ni takribani masaa matatu au manne...
Angekuwa wa ccm asingekamatwa sabbu ni wachadema diwani kazi yake ni kuwatafuta waalifu huo ni upuzi huyo mkuu wa wliya hajui majukumu ya diwani nn? Hizo ni siasa " KATIBA MPYA NI MUHIMU SANA"
Toa maoni yako kuna umuhimu wa kuwa na makatibu tarafa kwel kwa nyakati hizi ebu tubadilishane mawazo na wewe ikiwa ni pamoja na majukumu yake na tofauti na mtendaji kata.
Inabidi tuwe na mifumo mizuri ya ugatuzi wa madaraka huu mfumo wa kuwa na RC , DC na hii gazi ya tarafa sioni umuhimu wake...
Swali la kujiuliza ni kwann kenya imepiga hatua kubwa sana kwenye swala la kusambasa umeme . Kenya ndio nchi pekee walio na mpango wa kufanya swala la umeme kuwa haki ya kila mkenya . Kenye ndio nchi pekee walio na sera za kitaifa afrika mashariki na sera ya vyama ni siada. Kenya ndio . Je? Sisi...
Nahisi lingekuwa ni kosa la kichochezi ingefungwa hata hiyo station maana wapo watu hawataki tuwe tunahoji chochochote kuhusu utawala " nchi zote zenye demokrasia ya kweli wamekombolewa sababu wananchi wengi wanaelimu na mimi nawahimiza vijana waende shule ili tupate vijana walio na uwezo wa kuhoji"
Kuna kitu naomba kuuliza jamani wadau hivi kupandishwa daraja, nyongeza ya mishaara, uhamisho wa mtumishi lipo kisheria kweli maana hata sielewi utaratibu maana yanayofanyika nchini sijui ka yanafuata taratibu. Je? Hiyo nyongeza ya mshaara tangia mwezi wa saba hadi mida hii italipwa au...
Taarifa ya habari nayo hamna kitu kama kwenye TV ndio hamna kitu kwana hawaend na mda vipindi havieleweki mdaa wa kuanza mara mda upite dakika kumi ndipo kipind kianze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.