Dying mzeee anatetea unga kwanza aiseee Tanzania kazi upo unapeleka ushaidi unaambiwa sio ushaidi ila tulitegemea na sidhani kama kuna issue yoyote itafuatiliwa. Kama watu walipiga pesa na ma sulphate mpaka leo issue.mmmh
Yani sasa hivi kila kitu siasa yani swala la wafanyakazi kuingiliwa na chama Shame shame inaonyesha jinsi gani wafanyakazi na wasomi ni virenga au misukule wa siasa nimekasirika sana na angalia movie zangu tena series za Korea
Poleee Mimi wala zipo Tanzania ila ndugu zangu ndo wapi huko but wadogo zangu wote nawasomesha kwa hela yangu na wakati kuna board ndo maana I hate government siasa imekuwa nyingi
Yani Mimi hata ndugu yangu tu akiniambia anapenda CCM ajue asikae anililie shida hata siku moja bora MTU uwe neutral ULA kuna miwatu inashabikia ujinga ambao mpaka kiongozi wao wakiona ujinga wakikataaa nao ndo wanakataaa sasa si uzombie huu jamani. Dah sijui Nani katuloga
Unajua target za USA wewe au anaongea huyo Gaddafi yupo wapi, huyo sadaaam yupo wapi Noriega yupo wapi hawa jamaaa wakishafikia plan yao done mbaki mparangane yeye anajinyonyea wese kwa kwa mrija na kuuza silaha
Kuna kuna vichaaa Tanzania namba moja nchi yenyewe wana nchi wake Wa natamani vita ili tu kiongozi wao aondolewe madarakani nashangaaa wabongo huku wanashabikia
Hakuna MTU alikuwa na bit kama Saddam Husain watu walijuia Ww3 iko wapi tatizo Wa to to wa juzi nyinyi. Russia na China ndo nchi pekeee zinazoweza leta vita ya tatu ma sio NK
Hivi nyie nchi inakufa na njaaaa yenyewe hahahaha aiseee yani marekani atamchapa ataharimu sehemu zote wanazozani niza matengenezo au kurutubisha nyuklia anawaacha hapo China waawasaidia kuijenga subirini muone
Watu wanavituko ngoja vita ianze mtabaki mdomo wazi mmesahau Saddam na bit za kuangamiza dunia inaelekea watoto wa juzi nyinyi .Hawa NK mapemaaaa na wana nchi wake watapata fursa ya kukimbilia SK coz wanapatamania sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.