Mh. Mpango ana haki pia ya kulaumu, kuna kundi lenyewe lilikuwa haliulizi makamu yupo wapi, bali walikuwa wanailaumu serikali kwa kuficha msiba wa makamu wa rais.
Watanzania tupo vizuri kwenye kugeuza maneno.
Kama kuna watu wanadai Magu aliharibu maisha yao, basi ujue wao ndo walikuwa wa kwanza kuvuruga maisha ya Watanzania wengi.
Alipokuja tinga tinga akasawazisha ngoma ikawa droo.
NA HAPO NDO ALICHEZA DAKIKA 47 TU SIJUI ANGEMALIZA 90 HALI INGEKUAJE KWENU VIHIYO UNITED, VILAZA FC NA MAFISADI CAMP ???
Wewe una sifa zote za UKILAZA, KIHIYO. ZUZU, BWEGE na USHOGA.
Unategemea kwa tabia hizo ungepona kwa yule MWAMBA ?
Sasa jamaa ana miaka miwili hayupo lakini bado unasumbuka na mzimu wake.
Sisi Watanzania tunaujuaji wakati mwingine wa kipuuzi sana.
Sio kweli kwamba vile ving'amuzi hawavichezei ili visifanye kazi kwa uhalisia wake.
Matajiri wa hayo mabasi mpaka watumishi wao wanajua vizuri michezo hiyo.
UKWELI MABASI MENGI WAMEISHA CHEZEA HIVYO VING'AMUZI ILI KUKWEPA FAINI...
We ficha UPUMBAVU wako kwa kudhani Wazungu wote wana akili sana kuzidi weusi.
Kuna mambo ambayo hata wao wabaki midomo wazi yamegunduliwa huku kwa weusi.
Waliopata chanjo mpaka sasa ni wa kutafuta kama unatafuta mchanga kwenye mchele.
Magu alikuwa sahihi sana hata nchi za Ulaya wapo waliofata njia yake ya kupambana na corona.
Corona ilisingiziwa tu.
Watu wamekufa kwa mengineyo.
Ukweli hicho kirusi kingekuwa na uwezo waliousema Wazungu, basi hapa Tanzania ingekuwa mfano kwa vifo hapa duniani.
Na usisahau miradi ya maji na umeme mpaka vijijini.
Hapo CCM itadhidi kudidimiza mizizi mpaka chini sana.
KWENYE HUDUMA ZA AFYA MAMA AKIJUA KUCHEZA VIZURI .........HATASAHAULIKA KABISA.
Lazima utakuwa unatokea kwenye ukoo wa VILAZA , kama sio wewe uliepitiwa na fyekeo la Mwamba basi ni jamaa za ukoo wako.
Matapeli wote wana hio "multi skilled" ndo TUMA KWA NAMBA HII waleee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.