Search results

  1. G

    Je, Unahitaji Mbegu bora (Hybrid seeds) kwa ajili ya Greenhouse au bustani yako?

    Kibila Bei inarange kuanzia TZS 127 mpaka 250 kwa mbegu moja na inakupatia kuanzia kilo 15 na kuendelea kwa mche mmoja kwa msimu.
  2. G

    Je, Unahitaji Mbegu bora (Hybrid seeds) kwa ajili ya Greenhouse au bustani yako?

    Asante Kiogwe Round Up ipo katika majina na bei tofauti kulingana na kampuni. Mfano Monsanto inaitwa hivo hivo Round Up, Twiga Chemical wanaita Gugusate, TCC wanaitwa Glyceri na Zaidi. Makampuni ninayoyajua yanauza bei ya jumla kuanzia (8500 mpaka 9500) kwa lita. Round Up inaua majani...
  3. G

    Je, Unahitaji Mbegu bora (Hybrid seeds) kwa ajili ya Greenhouse au bustani yako?

    Heikki yuko poa Mitcho na Alphonce pia wako poa na wanawakilisha vizuri katika idara zao.
  4. G

    Je, Unahitaji Mbegu bora (Hybrid seeds) kwa ajili ya Greenhouse au bustani yako?

    RIJK ZWAAN ni kampuni iliyobobea kwenye utengenezaji wa mbegu bora za mboga mboga. Kwa tanzania tuna matawi mawili Arusha (Q SEM na AFRISEM). Pia tuna tawi jipya Mwanza na sasa Bagamoyo. Kutoka kwetu utapata mbegu za Nyanya (Round to Oval and Cherry) utakazoweza kuvuna kwa muda wa miezi mpaka 7...
  5. G

    Kampuni ya Jk na riz!

    Pole sana... RIJK ZWAAN LTD haina uhusiano wowote na KIkwete wala Riziwani japo mara moja Kikwete ametembelea kampuni yetu makao makuu Holland. RIJK ZWAAN ni kampuni ya Mbegu bora za mboga mboga iliyoanzishwa na jamma aitwae RIJK ZWAAN, alizaliwa mwaka 1924 Holland, sasa ni kampuni inayoongoza...
  6. G

    Msaada kilimo cha Matikiti

    Ingia Facebook search page ya RIJK ZWAAN Tanzania like tujadili zaidi. kilimo ni biashara.
  7. G

    Kilimo cha mboga mboga

    Nipigie 0762 682 824
  8. G

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Please contact me through. 0762682824.
  9. G

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Aksante kwa swal lako, mbegu hizo zitaota vizuri kwani tunatoa mbegu kutoka huko na tunakuja kuzizalsha Tz halafu zinaenda kuuzwa huko tena, lakini hakikisha unaziotesha kitalun kwanza kabla ya kuzpeleka shamba kwan zaweza zisiote vzr. Tumia samadi kuziotesha na zipe joto la kutosha kwa...
  10. G

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Matikiti ni matunda, japo tunasema ni mboga kutokana na njia zinazotumika kuyazalsha kwan siyo tofaut na mboga. Matunda yanaanza kukomaa kuanzia siku 80-120 kufuatana na aina, kama sugarbaby inakomaa mapema. Na il kupata matunda makubwa na yenye ubora, tunashaur kwa mti mmoja usiwe na matunda...
Back
Top Bottom