Habar zenu wana JF. kumekuwa kuna tatizo linalomkabili rafik yangu.kwamba kila anapokutana kimwili na mpenz wake amekuwa akiwashwa sana sehem za mgongo na kifuan. hivyo amekuwa akipata michubuko inayomletea maumivu nyakati za kuoga. nimshauri afanyaje ili aendelee kulifaidi tendo hilo na mpenz...
Mkuu kuwa makin.. magonjwa ni mengi kishenz. hata hivyo ni vizuri ukapata diagnosis ya tatizo lako mapema kabla ya ugonjwa kuwa mkubwa. lakin ki ukwei hakuna ant-bacteria inayoweza kutibu fungus may be anti-fungal.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.