Habar zenu wana JF. kumekuwa kuna tatizo linalomkabili rafik yangu.kwamba kila anapokutana kimwili na mpenz wake amekuwa akiwashwa sana sehem za mgongo na kifuan. hivyo amekuwa akipata michubuko inayomletea maumivu nyakati za kuoga. nimshauri afanyaje ili aendelee kulifaidi tendo hilo na mpenz wake? natanguliza shukran za dhat kwenu..