Nimetembelea tawi la CRDB kwa ajili ya kuprocess mkopo wakaniambia wamesitisha kutoa mikopo. Wenye uelewa zaidi juu ya hili naomba wanijuze usitishaji huu utaishia lini
Kuna jamaa yangu alijiunga na bima ya elimu miaka sita iliyopita hiyo bima iliiva last year March but until leo hakuna kinachoendelea ni subir tutakupigia, Chek wanaandika makao mkuu, yaani kila akienda ni maelezo tu. Kwa mwenye kufahamu huduma za hawa jamaa au jinsi ya kufuatilia tukutane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.