huyo arudie mtihani tu hawezi pata chuo cha pass 3 na hata akipata chuo huko mtaan mjue ipo siku atakwama mbeleni kuna mtu namfahamu yalimkuta mwaka jana na pass zake tatu..hana hamu
Jaman mimi ni diploma holder nime-aply kwenda degree ,,NACTE walishafanya tathmini ya vyeti vyangu na kuniambia "requred qulification found"
Lakin cha kushangaza leo nakuta wananiambia "update qulification " na inagoma ku update hii maana yake nin jaman????
kuwa na subira brother kuna jamaa yangu hapa tumeangaika hapa tatizo kama lako masaa matatu yamepita now ndo imekubari....... USILIPE PESA TENA WEWE USIKAE MBALI NA EMAIL YAKO WANATUMA SOON
acha kuongea usivyovijua wewe aliyekwambia kupata first class ndo akili ....funguka usiite watu wazembe usiwowajua...tena nna mashaka na elimu ya mdogo wako.....
daaa habari wana JF nauliza hivi ukiangalia guide book ya diploma from tcu kila chuo nacho angalia naona wanafunzi wanaoitajika kwa kila coz ni wachache je ni kwamba watu wa diploma tupo wachache sana au ni vp>?????
samahani jaman msaada plz mim nataka kuendelea na degree nililipa pesa yangu nacte kabla hawajasema tunatakiwa kuaply TCU je kuna tamko lolote limetolewa kwa sisi tuliolipia nacte au ndo pesa imeliwa???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.