Kiwanja kipo eneo zuri na karibu na barabara Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam. Kina ukubwa wa 20*20 mita, bei milioni 20 tu, maelewano yapo. PM kwa biashara.
Mkuu ufuta unastawi ukanda wote wa pwani na maeneo ya karibu nayo, Wilaya zinazoongoza ni Liwale, Kilwa, Nachingwea, Luangwa, Masasi, Tunduru, Songea pia Ifakara, Tanga kiufupi ni maeneo mengi sana mpaka Mbeya ufuta unalimwa. Kuhusu gharama ni za kawaida kama mchangiaji alivobainisha hapo juu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.