Mimi nilifuatilia sakata lote la Spika wanayetaka kumtoa na jinsi wabunge wa Tanzania walivosimama kumsaidia huyo mama. Ni wazi kabisa sasa dada Rose ina mcost kwa kuundiwa mizengwe. Rose anatakiwa pia kuwachukulia hatua kali hao wabunge wa Rwanda, Kenya na Burundi wasipotoa ushahidi wa tuhuma...
Tuhuma kwamba dada Rose ni mlevi mmezitolea wapi? Huu ndio uwongo ulioaminishwa kwa muda sasa ili kumchafua huyu dada.Ikiwa ana sifa ya ulevi mbona hatujawai kuona habari mbaya kuhusu yeye kulewa kupita kiasi!
Sitaki kuamini habari mnazozusha kwamba ni mlevi. Kama kweli ana vuta sigara tatizo...
Tuhuma kwamba dada Rose ni mlevi mmezitolea wapi? Huu ndio uwongo ulioamonishwa kwa muda sasa ili kumchagua huyu dada. Ikiwa ana sifa ya ulevi mbona hatujawai kuona habari mbaya kuhusu yeye kulewa kupita kiasi!
Sitaki kuamini habari mnazozusha kwamba ni mlevi. Kama kweli ana vuta sigara tatizo...
Shyrose ni mbunge wa EAC anafanya kazi yake vizuri na ipasavo. Acha majungu ndugu yangu haisaidii. Mpe heshima yake kwa kazi nzuri na kubwa anayofanya. Hongera sana Shyrose kwani wengine tuna heshima kubwa kwako. Ushauri wangu ni kuwa usikate tamaa endelea na moyo huo huo wa kupigania maslahi ya...
Dada yetu Shy-Rose sasa anapokea mpunga wa millioni 17 kwa mwezi huo ni msharaha tu wa EALA MP na zaidi ya hapo anapokea laki 9 kwa siku wakati yupo kwenye vikao na vikao mda mwingine vinaendelea kwa mwezi mzima achilia mbali matrip kibao...mtajisonyaje...LOL
Nape ndugu yangu kweli hii ni aibu iliyoje kwa chama tawala kupata ushindi wa kura ya tofauti ya 4000? haiingii akilini na cha kushangaza zaidi jinsi ulivyopost haya matokeo ni kama vile chama tawala kimeshinda kwa ushindi wa kishindo!!! Licha ya viongozi wote wa chama tawala na serikali yake...
TBC walikatisha matangazo ya igunga tangu asubuhi na wakaendelea na taarab na mambo mengi. Hii TV kweli ni aibu kubwa sana tangu aondoke Tido Mhando< Mkurugenzi mpya Daniel Mshana amekuwa ni muoga kupita kiasi wakati yeye mwenyewe yuko Igunga!!!
January makamba pamoja na kubebwa rakini habebeki hana mvuto, hana uwezo wa kurimudu jukwaa na pombe nyingi kule morogoro enzi zake zimeharibu sura yake anaonekana ka zezeta sasa
vijana ninaowakubali ni kama:
1. John Mnyika huyu yuko serious kupita maelezo kila hatua yuko serious kuanzia bungeni mpaka jimboni sina shaka nae kabisaaa
2. Zitto Kabwe..anajieleza kwa wasifu wake hakuna haja ya kufafanua..ni mfano wa kuigwa
3. Halima Mdee mwanamke wa kwanza kijana kuchukua...
john marwa wewe ulitaka shy ampe babako?? acheni wivu wa kike...au na wewe ni hasira kwa vile huyu dada hawezi kukuangalia kama anavyowaangalie wengine? inaonyesha ni kiasi gani unamjali mpaka umeamua kufuatilia hii thread...idiot nambari one
Hongera sana Kibanda kwa maoni mazuri na ya kujenga. Natamani waadishi wengi wangekuwa na mtazamo kama wako kweli tungefika mbali. Kikwete ni mchovu na hii siyo siri kwani hili limeshaanza kufahamika vizuri sana kadri siku zinavyokwenda. Pinda ni dhaifu na hili nakubaliana na wewe kwa asilimia...
ni kweli mkuu ndesamburo ni noma jimboni kwake...huyu ni mbunge for life...
top ten list yangu
1. anne kilango
2. freeman mbowe
3. tundu lissu
4. zitto kabwe
5. mnyika
6. halima mdee
7. godbless lema
8. filkunjombe
9. nimejitahidi ila nimeishia hapa
mkuu nilipotembelea ukurasa wa fb wa Shy-Rose Bhanji alikuwa na naneno haya kwa wale kama wewe wanaombeza:
POINT OF CLARIFICATION: The present economic and political situation in Tanzania is a reflection of JKs leadership. These reflections are expressed by most Tanzanians in different forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.