Uchaguzi wa Kenya unafanyika leo tarehe 9/8/2022
Uchaguzi wa huu una maslahi mapana si tu kwa wa-Kenya bali ukanda mzima wa E Africa, Tanzania tukiwa miongoni mwao
Wakati wa uchaguzi wa 2017 CDM walisamama na Uhuru, akashinda. Mgombea wa CCM, bwana Odinga akiangukia pua
Matokeo yake ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.