Habari wandugu,
Kuna mwanamke analazimisha mahusiano ya mimi na yeye tuwe pamoja na ikibidi nimuone. Ila cha kushangaza napokutana nae kupiga stori mbili tatu yeye anatoka kwenye point ya mazungumzo na kuaanza kutaka tufanye mapenzi. Huwa najitahidi kumkatalia lakini ananibembeleza mpaka mwisho...
Natumai nyote ni wazima,
Kuna jambo naomba niwashirikishe wadau.
Kuna binti wa kimbulu alinichomekea na kumpa mimba bila ya mimi kuwa tayari kuwa nae. Hakuwa anafahamu undani wa maisha yangu na mimi pia sikuwa najua. Mahusiano na yeye yalikuwa ya muda usiozidi siku 40.
Gafla naambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.