100% Tanzania hakuna kesi kama hizo. Inakuwa kesi kama waliodhulika moja kwa moja kama Lissu ni wengi kwa mamia otherwise nchi zenye migogora muda mrefu viongoz wake wangekuwa walishafungwa siku nyingi i.e Ivory cost, DRC, Sudan, Ethiopia kwa sasa n.k
Hivi nyie nyumbu kwanini wagumu hivi kujifunza? Hapa hakuna kitu hizi ni kelele za mkosaji na hazina madhara yoyote. Zitafifia na miaka 5 itaisha kwa kishindo kikubwa. Fuatilieni huko, EU na IMF watakavyomwaga pesa TZ bila kumsahau mchina aliyetoa ahadi kumalizia miradi yote mikubwa ikiwemo...
Ls ICC litakapobuma utaficha wapi uso wako? Nakuhakikishia hakuna kesi yenye mashiko, ICC wataitupilia mbali na JPM atakula bata hadi 2025. Pia uombe ccm wabadili mkakati wao wa kubadili katiba na kumuongezea muda wa kutawala.
Kupiga kura mnapigia mtandaoni na ushindi mnapeana kuapishana mtandaoni. Sitashangaa na maandamano kuishia mtandaoni kama ya Mange. Hakuna atakayetoa pua nje.
Wakati mnatapika upuuzi mtandaoni ni vema kukumbuka kwamba:
1. mpaka dakika hii CCM ina wabunge wanaosubiri kuapishwa 28 na madiwani zaidi ya 800 waliopita bila kupingwa.
2. Ccm ndicho chama pekee kati ya 15 kinachomiliki vifaa vyote vya uchaguzi vikiwemo vituo vyote na mfumo wote wa upigaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.