Ninaomba mawazo yenu kwa masuali yafuatayo . 1. Je mkoa gani kanda ya ziwa mzuli wa kuanzisha kiwanda cha ngozi za mifugo? 2. Je kama nikianzisha soko la malighafi zitokanazo na mifugo likoje kanda ya ziwa? 3. Je kuna taasisi za fedha...
Kwa hapo sasa wanaotukana humu wataanza kupwaya maana walishazoea copy and paste za Tindu lisu ambapo ukimpeleka kwenye analysis anatoka ziro na anashindwa kutetea
Mwaka juzi bungeni Mbowe alionekana mdaiwa sugu wa NSSF na akawa anakwepa kulipa mpaka ikazungumziwa bungeni, na akakimbilia kujitetea leo mdaiwa sugu wa NHC, Mimi naona ni vyema ulipe madeni ndio utuletee habari za ukuta.
Mmi navyojua tanzania anaeongoza kw Kukwepa kodi ni FREEMAN AIKAEL MBOWE, Bado TRA watakuja na list ya makampuni yaliyoingiza mizigo kutoka nje ya nchi wakiwa wamekwepa kodi.La mbowe limo...N hapo ndio mtagundua kuwa mbowe anajitahidi kuongea saana ili aachwe kwa sababu anadaiwa,Mbowe unatafuta...
Wewe muongo ,wewe Sio kada wa CCM ,Bado wewe ni pandikizi mbona tunakujua saana?
Umeandika unaponda kama unaamini watanzania wako hivyo nenda kaungane nao wapinzani uandamanane.. Dont Cheat arround the bush
Wanaccm waliopiga kura walikuwa million 8.6, jumala waliojiandikisha ni 8.9, Wanachama wa Ukawa waliopiga kura walikuwa million 5.7 waliojiandikisha jumla walikuwa Million 6 , Je hiyo asilimia sititini na mbili umeipata wapi? Acha kudanganya watanzania ndugu.
Kiukweli ukiwa na kiwanda kimoja cha mdomo jiandae kuwa maskini wa kutupwa. Kuna watu humu huwa wanaongea sana,wanajua kutukana kila aina ya matusi,wanajua kulalamika wanajua kumponda Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,Kiukweli hawa tu viwanda vyao viko midomoni mwao. Hawatakaa waendelee...
Nampongeza Mheshimiwa Rais DR JPM kwa kumteua Bwana GABRIEL FABIAN DAQARO kuwa mkuu wa wilaya ya Arusha, huyo ni Jembe uliemteua, na ana Elimu ya kutosha ya utawala na science ya siasa, Sasa wana Arusha mtapata maendeleo zaidi ya hayo yaliyopo. Kwa pamoja tunakuombea kwa Mungu atusaidie. AMEN....
Za mwizi arobaini,Utakamatwa tu ukiwa unakula hapohapo nyumbani. Ni bora ongea nae akupangishie mtaani tena mbali kidogo na kwake.Singerpore napajua hakuna ajira ni nchi ndogo sana, ila kama kakutafutia waweza kupata ukipata hama kwake.
Cha ajabu nilikuwa naangalia location zenu wachangiaji mojowapo ya watu wanaotukana na watu wa Arusha na Moshi kwa nini inamaana nyie bado mna akili ya kuendeleza ukabila?Kuna mtu mmoja anajifanya mkali sana lakini hata kiganja cha tumbili hajai..looh pole sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.